Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje
Related Posts
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii) Haujaenda mjengo Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie Continue Reading..
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Msichana mrembo lakini akinyamba Maiti Inageuza kichwa
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..