Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Related Posts
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
