Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Related Posts
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile Continue Reading..
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo