Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Related Posts
Demu:babe leo bata wap?? Boy:kwani wewe unataka tukale wap??? Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa Boy:acha ufala leo bata kwani uja Continue Reading..
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa i love you wanasema water suprise
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
