mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣
Related Posts
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
