mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……
Related Posts
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa i love you wanasema water suprise
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi