Uko wapi we minagawa pesa sahizi
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *