naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Furaha usoni, maumivu noyoni.
akil ni nyele kila mtu ana zake
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi, I luv Uganda. God z good
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *