naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Related Posts
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of Continue Reading..
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.