Furaha yngu nimuonapo ana smile
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *