Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Related Posts
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
