Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Related Posts
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali.
First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho Continue Reading..
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..