Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Related Posts
Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi. Yeye: niaje bro c Continue Reading..
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
