Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Related Posts
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndaniif you know you know
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii) Haujaenda mjengo
Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus.. and remember to observe believe can help you to do anything you Continue Reading..
Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi