Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *