Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Related Posts
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics Continue Reading..
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people