Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja
Related Posts
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
Msichana mrembo lakini akinyamba Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭