Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja
Related Posts
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣