Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui
Related Posts
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile Continue Reading..
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you for Joy, Thank you for Grace, Continue Reading..
Hii upuzi ya unauliza dame hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why