Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi” A drunk man Continue Reading..
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *