Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love
Related Posts
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni by Carlos ochieng agunda
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…