mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣
Related Posts
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 Continue Reading..
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂 *What goes Continue Reading..
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
