Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Hii upuzi ya unauliza dame hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana