Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Related Posts
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 Continue Reading..
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi