Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi” A drunk man Continue Reading..
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂 *What goes Continue Reading..