Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula ๐๐๐๐๐
Related Posts
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. ๐๐
MIMI KAMA SIMU YAKO Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel Continue Reading..
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze ๐คฃ๐คฃ๐คฃ