Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula
Related Posts
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie Continue Reading..
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa Continue Reading..
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry