Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂
Related Posts
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai