Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Related Posts
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
MIMI KAMA SIMU YAKO Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel Continue Reading..
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏 Vile unataka