Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Related Posts
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics Continue Reading..
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo, kumbe nao ni ushezi
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂