Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love Continue Reading..
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *