Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Maisha ni siri Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *