Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Kabiixa, utadhani ni mashindano
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Kabiixa, utadhani ni mashindano