Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
akil ni nyele kila mtu ana zake
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *