naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
akil ni nyele kila mtu ana zake
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *