Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.
Related Posts
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi