Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Furaha yngu nimuonapo ana smile
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *