akil ni nyele kila mtu ana zake
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *