Furaha usoni, maumivu noyoni.
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
akil ni nyele kila mtu ana zake
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *