Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men
Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you for Joy, Thank you for Grace, Continue Reading..
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 Continue Reading..
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂