naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *