abdulkadir ame ali 7 Comments maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini Copy
Nikipata sio Raha kwa wote, lakini nikikosa nifuraha kwao wote, na watanikujia na ahadi sa mzaada za urongo. Reply
mimi ni mimi tu
QATAR
16319
Usililie bahati ya mwenziyo,Mungu atakubarikia yako,usife kuchoka.
Nikipata sio Raha kwa wote, lakini nikikosa nifuraha kwao wote, na watanikujia na ahadi sa mzaada za urongo.
Ukiomba Mola zaada na kufanikiwa pia unakuwa wewe ni luminati.
Huwezi kuwa mwema na kuridhisha wote hata ukiishi musikitini milele